Sunday, February 10, 2013

KWA WALE TUNAOPENDA KUANGALIA MPIRA

Wana FTI wakutwa wakifuatilia mechi ya fainali ya michuano ya mabigwa wa Afrika, kati ya NIGERIA vs BURKINA FASO 1-0 , 


Hali halisi ni kwamba tunaangalia mpira kwa tabu sana, tunaomba ile projecta kwenye mechi kama hizi iwepo. Tunaomba uongozi ujaribu kuliona hili kwani watu wakiwa wengi uono unakua mdogo sana.
Tv pekee haitishi watu endapo watajaa ukikaa mita tatu basi ujue hutaona vizuri.

No comments:

Post a Comment